Monday, September 12, 2011

Mapato Mechi ya Yanga na Ruvu Shooting


Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Yanga na Ruvu Shooting iliyochezwa Septemba 10 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam imeingiza sh. 23,388,000.

Kwa mujubu wa taarifa iliyotumwa kwa Yyombo vya Habari na Ofisa Habari na Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Boniface Wambura, inasema  Watazamaji waliokata tiketi kwa ajili ya kushuhudia mechi hiyo walikuwa 6,566. Viingilio vilikuwa sh. 15,000, sh. 7,000, sh. 5,000 na sh. 3,000.

No comments:

Post a Comment