Wednesday, September 7, 2011

Ronaldinho Arudi na Kuanza kwa Ushindi

Ronaldinho kwenye mechi Brazil na Ghana

Kwenye mechi yake ya kwanza baada ya miezi  zaidi ya 10, Ronaldinho amerudi tena akiwa timu ya taifa ya Brazil, akianza mwanzo mwisho kuisaidia nchi yake kuishinda 1-0 dhidi ya Ghana.

No comments:

Post a Comment