Wednesday, September 7, 2011

Wilshere Nje ya Uwanja Mpaka November

Jack Wilshere

Mchezaji Chipukizi Nyota wa Arsenal Jack Wilshere, ataendelea kuwa nje ya dimba kwa miezi miwili zaidi, hii ni kutokana na kutonesha enka yake ya mguu wa kulia.

Wilshere amekuwa nje ya uwanja kwa kipindi sasa, na hakuwahi kuhusishwa na mechi yoyote ngumu ambayo timu yake ilishiriki toka msimu mpya uanze, na hii ni kutokana na timu hiyo kutotaka kumuwahisha mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 19.

No comments:

Post a Comment