Saturday, September 10, 2011

Zlatan Ibrahimovic

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Italia maarufu kama Seria A AC Milan, wameshindwa kuanza vyema kutetea taji hilo, baada ya kwenda sare ya 2-2 na Lazio, kwenye uwanja wao wa San Siro jana Ijumaa.
Wageni ndio waliokuwa wa kwanza kuingiza nyavuni bao zote mbili, kwa magoli yaliyofungwa na washambuliaji wapya Miroslav Klose na Djibril Cisse.
Zlatan Ibrahimovic na Antonio Cassano waliweza kuipatia Inter magoli ya kusawazisha na kuifanya mechi iishe kwa sare.

No comments:

Post a Comment